Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa
Rais, Sazi Salula akizungumza na wanakijiji cha Marieni Wilaya ya Same
Mkoa wa Kilimanjaro alipokwenda kukagua Shughuli za Uchafudhi wa
Mazingira katika kjiji hicho jana.
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Sazi Salula akizungumza
na Mkurugenzi wa Baraza la hifadhi na Usimamizi wa Mazingira {NEMC] Eng
Benventure Baya na Mkurugenzi wa Mazingira Ofisi ya Makmu wa Rais Dk
Julias Ningu na Ofisa Mwandamizi Bw Timotheo Mande mara baada ya
kutembelea Uchimbaji wa Madini ya Bauxite yanayochimbwa kwenye kijiji
cha Marieni Wilaya ya Same Mkoa wa Kilimanjaro
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Sazi Salula akiangalia Maadini Bauxite yanayochimbwa na kampuni ya Willy Enterprises alipokwenda kuangalia hali ya Uchafuzi wa Mazingira katika Kijiji cha Marieni Wilayani Same Mkoa waKilimanjaro.
No comments:
Post a Comment