Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Hawa Ghasia akiwasili katika Mkutano Mkuu wa Saba wa Mfuko LAPF jijini Arusha katika Ukumbi wa AICC.
Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Hawa Ghasia akizindua Nembo mpya ya LAPF
Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Hawa Ghasia akipongezwa na Mkurugenzi Mkuu wa LAPF, Eliud Sanga
|
Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Hawa Ghasia akikabidhiwa zawadi na Mwenyekiti wa Bodi, Profesa Hassa Mlawa
|
No comments:
Post a Comment