MDAU POPOTE ULIPO TUMA PICHA NA HABARI KWA E-mail:  antonysiame74@yahoo.com

Tuesday, October 18, 2016

Makamba ashuhudis uharibifu wa mzingira katika mto Mkondoo kilosa mkoani Morogororo





Sehemu ya kingo za  Mto Mkondoo zilizoharibiwa na uharibifu wa mazingira Wilayani Kilosa


 Candidius Songela akimuonyesha Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira January Makamba  ramani inayo onyesha eneo lenye mgogoro baina ya wanakijiji wa Katarukila na mwekezaji. Katikati ni Mkuu wa Wilaya ya Kilombero, James Ihunyo.

No comments:

Post a Comment