Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika
mazungumzo na Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa mara baada ya kuwasili Ikulu
jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akizungumza na wanahabari mara baada ya kumaliza mazungumzo yake na Waziri Mkuu
Mstaafu Edward Lowassa Ikulu jijini Dar es Salaam
Rais
John Magufuli, akiagana na Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa baada ya kumaliza mazungumzo yao Ikulu jijini
Dar es Salaam jana.
No comments:
Post a Comment