MDAU POPOTE ULIPO TUMA PICHA NA HABARI KWA E-mail:  antonysiame74@yahoo.com

Saturday, June 30, 2012

Rais akutana na watendaji wakuu wa makampuni ya Marekani



Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika picha ya pamoja na wanafunzi wa Kimarekani na waalimu wao pamoja na Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa John Haule, Balozi wa Marekani nchini, Mhe na Balozi wa Tanzania nchini Marekani, Mwanaidi Sinare Maajar. Wanafunzi hao  wanachukua masomo ya lugha ya Kiswahili katika Chuo Kikuu cha Zanzibar ( SUZA). Walikuwa  wameongozana na  watendaji wakuu wa Makampuni mbalimbali kutoka Marekani walipomtembelea Rais Kikwete  Ikulu jijini Dar es salaam leo. katika ziara yao ya siku kadhaa ya kuvumbua Tanzania (Discover Tanzania VIP CEOs tour iliyoandaliwa na ubalozi wa Tanzania Marekani

 

No comments:

Post a Comment