Mashujaa mjini Mtwara jana. Tukio hilo liliambatana na burudani kutokakwa wasanii chipukizi wa mkoani humo na baadhi ya wasanii maarufu kutoka katika Jiji la Dar es Salaam ambako waliohudhuria walielezwa
jinsi ya kujiunga na faida mbalimbali zinazopatikana katika huduma ya Supa 5.
Ofisa Uhusiano wa Airtel Tanzania, Jane Matinde akihutubia wakati akizindua huduma ya Supa 5 ya Airtel katika Uwanja wa Mashujaa Mkoani Mtwara jana
Msanii wa muziki wa kizazi kipya kutoka THT, Mwansiti Almasiakikonga nyoyo za wakazi wa Mtwara waliohudhuria uzinduzi wa huduma ya Supa 5 ya Airtel katika Uwanja wa Mashujaa Mkoani Mtwara jana
Ofisa Uhusiano wa Airtel Tanzania, Jane Matinde (kulia) akitoazawadi ya simu kwa Jamimu Mohamed baada ya kuibuka mshindi kwa kutoa maelezo sahihi ya jinsi ya kujiunga na faida za huduma ya Supa 5 ya
Airtel wakati wa uzinduzi wa huduma hiyo katika Uwanja wa Mashujaa mjini Mtwara jana.
Msanii mkali wa miondoko ya bongo flava, Juma Kassim Nature ‘Sir Nature’ kutoka kundi la Wanaume Halisi, akifanya vitu vyake wakati wa uzinduzi wa huduma ya Supa 5 ya Airtel katika Uwanja wa Mashujaa
Mkoani Mtwara jana
Sehemu ya umati wa wakazi wa mji wa Mtwara na viunga vyake wakifuatilia uzinduzi wa huduma ya Supa 5 ya Airtel katika Uwanja wa Mashujaa mjini humo jana
Mabinti wa Mtwara wakichuana ili kumpata mshindi wa
kusakata‘Kiduku’ ambapo mshindi wake, Nasra Salehe (kushoto) alijishindia simu katika hafla ya uzinduzi wa huduma ya Supa 5 ya Airtel Mkoani Mtwara
No comments:
Post a Comment