MDAU POPOTE ULIPO TUMA PICHA NA HABARI KWA E-mail:  antonysiame74@yahoo.com

Sunday, August 5, 2012

Kampuni ya SIMU ZA MKONONI AIRTEL YAFUTULISHA MKOANI ARUSHA

Meneja Huduma wa Airtel Tanzania, Hilda Nakajumo (kulia), pamoja na baadhi ya wateja wao wa makampuni, wakipakua chakula katika hafla ya futari waliyoiandaa kwa wateja wao, katika Hoteli ya Naura Springs jijini Arusha jana. Kushoto ni Anne Gitarda na Evelyn James, wote kutoka katika ofisi za UN-ICTR jijini humo.
Meneja Huduma wa Airtel Tanzania, Hilda Nakajumo (wa tatu kushoto), akizungumza na baadhi ya wateja wao wa makampuni, katika hafla ya futari waliyoiandaa kwa wateja hao, katika Hoteli ya Naura Springs jijini Arusha jana.
Baadhi ya wateja wa makampuni wa Airtel Tanzania wa Mkoani Arusha wakichota uji katika hafla ya futari iliyoandaliwa na Airtel Tanzania, katika Hoteli ya Naura Springs jijini Arusha jana.  

Baadhi ya wateja hao wakichukua futari iliyoandaliwa na Airtel
Tanzania kwa wateja wa makampuni jijini Arusha jana.

No comments:

Post a Comment