Pages
(Move to ...)
Home
▼
Wednesday, August 7, 2013
MRISHO NGASSA AANZA MAZOEZI YANGA
Mrisho Ngassa aliyesajiliwa na yanga akitokea timu ya simba alikokuwa anachezea kwa mkopo akitokea AZAM FC, hatimaye leo ameanza mazoezi na timu yake mpya ya Yanga kwa ajili ya maandalizi ya ligi Kuu Tanzania Bara inayotarajia kuanza mwezi ujao
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment