MDAU POPOTE ULIPO TUMA PICHA NA HABARI KWA E-mail:  antonysiame74@yahoo.com

Friday, January 20, 2012

 Mwanzo wa kuharibika kwa barabara unaanza hivi na wahusika wakiwa wanaipit kila siku, hapa ni katikati ya mitaa jijini Dar es Salaam.
 Wauza madafu wakiwa kwenye Kivuko cha Magogoni wakitokea Kigamboni kuelekea Posta kwa ajili ya kutafuta ridhiki. ni hivi karibuni nauli ya kivuko imepandishwa kutoka Sh 100-200 kwa abiria na kwa baiskeli ni kutoka Sh 300- 1500. je kwa biashara hizi watakuwa wanapata faida
 Mkazi wa Kigamboni akipanga Mihogo akiwa kwenye Kivuko cha Magogoni
Abiria wakiingia kwenye Kivuko cha Magogoni  kuelekea Kigamboni

No comments:

Post a Comment