Meneja Mawasiliano na Uhisano wa Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA), Titus Kaguo (kushoto) akiwa katika Banda la Mamla hiyo kwenye maonyesho ya Nanenane katika Viwanja vya Nzuguni mkoani Dodoma
MKuu wa Mkoa wa Singida, Parseko Kone akipata maelezo kutoka kwa Meneja wa Mawasiliano na Uhisiano wa Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA), Titus Kaguo (kushoto)alipotembelea Banda la Mamlaka hiyo kwenye maonyesho ya Nanenane yanayoendelea katika Viwanja vya Nzuguni mkoani Dodomna
 |
Add caption |
 |
Mkuu wa Mkoa wa Singida, Parseko Kone akionyeshwa dawa ya kugundulia vinasaba katika mafuta aina ya Petroli na mkaguzi Mkuu wa maswala ya Petroli wa mamlaka hiyo, Mhandisi Julius Gashaza (kulia) wakati alipotembelea Banda hilo kwenye maonyesho ya Nanenane, Kushoto ni Meneja Mawasiliano na Uhusiano, Titus Kaguo |
 |
Mkuu wa Mkoa wa Singida, Parseko Kone akiangalia Mashine ya Kugundulia Vinasaba katika Mafuta wakati wa maonyesho ya Nanenane yanayoendelea katika Viwanja vya Nzuguni mkoani Dodoma |
Dk. Asha-Rose Migiro atinga Bungeni
 |
Aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Dk. Asha-Rose Migiro (kushoto) akiingia katika Ukumbi wa Bunge mjini Dodoma |
 |
Aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Dk. Asha-Rose Migiro akisalimiana na Mbunge wa Viti Maalum, Namelok, Sokoine nje ya Ukumbi wa Bunge mjini Dodoma |
 |
Aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Dk. Asha-Rose Migiroa akifua na Mbunge wa Viti maalum, Rosemary Kirigini nje ya Ukumbi wa Bunge mjini Dodoma |
No comments:
Post a Comment