Pages

Monday, August 6, 2012

Wachezaji wa Yanga waandaliwa Futari Bungeni

Wachezaji wa timu ya Yanga wakiwa katika foleni ya kuchukua futari iliyoandaliwa na wabunge mashabiki wa timu hiyo

Add caption

Wachezaji wa timu ya Yanga wakiwa katika foleni ya kuchukua futari iliyoandaliwa na wabunge mashabiki wa timu hiyo

Mwenyekiti wa wabunge mashabiki wa Yanga, Mohamed Misanga akimkabidhi Naodha wa timu hiyo,Haroub Nadir  (Canavaro) Sh Milion mbili ikiwa ni mchango wa wabunge hao kama zawadi kwa wachezaji kwa kutwa kombe la Michuano ya Kagame iliyomalizika hivi karibuni

No comments:

Post a Comment