Pages

Sunday, August 5, 2012

VETA KATIKA MAONYESHO YA NANENANE DODOMA

 Baadhi ya wakazi wa mkoani Dodoma wakiangalia viatu vinatengenezwa na wajasiriamali wa hapa nchini kwenye Banda la VETA katika maonyesho ya Nanenane yanayoendelea kwenye Viwanja vya Zuguni Dodoma


 Meneja Uhusiano wa VETA, Grace Kabogo wa kwanza kushoto akipanga bihaa zilizotengenezwa na wajasiriamali kwenye maonyesho ya Nanenane yanayoendelea katika Viwanja vya Zuguni Dodoma

No comments:

Post a Comment