Nape awahutubia wahitimu wa CCM Chuo cha Kisanji (TEKU)
Katibu
wa Halmshauri Kuu ya Taifa ya CCM, Itikadi na uenezi, Nape Nnauye akishiriki
kucheza muziki wa mtindo wa 'Kwaito' wakati wa sherehe za mahafali ya
wana-CCM tawi ala Chuo Kikuu cha Teofilo Kisanji(TEKU) katika hoteli ya
Paradise mjini Mbeya leo
Wana_CCM
tawi la Chuo Kikuu cha Teofilo Kisanji (TEKU) Mbeya wakimpa zawadi ya picha
yake, Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Itikadi na uenezi, Nape Nnauye
wakati wa mahafali ya wana-CCM tawi la chuo hicho
No comments:
Post a Comment