MDAU POPOTE ULIPO TUMA PICHA NA HABARI KWA E-mail:  antonysiame74@yahoo.com

Sunday, August 14, 2011

Shirika la Nyumba la Taifa lazindua Ujenzi wa Nyumba za Makazi eneo la Medeli Dodoma

Ramani ya eneo la Medeli Dodoma ambapo patajengwa Nyumba za Makazi na Shirikan la Nyumba la Taifa (NHC)
 Msanii Mrisho Mpoto akitumbuiza wakati wa uzinduzi wa Ujenzi wa Nyumba za Makazi


wasanii wa kikundi cha tupendane wakitumbuiza
 Mkurugezi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Mchechu akizungumza wakati wa uzinduzi


 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimpongeza, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) Nehemia Mchechu muda mfupi baada ya uzinduzi wa ujenzi wa Nyumba za Makazi

No comments:

Post a Comment