Ramani ya eneo la Medeli Dodoma ambapo patajengwa Nyumba za Makazi na Shirikan la Nyumba la Taifa (NHC)
Msanii Mrisho Mpoto akitumbuiza wakati wa uzinduzi wa Ujenzi wa Nyumba za Makaziwasanii wa kikundi cha tupendane wakitumbuiza
Mkurugezi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Mchechu akizungumza wakati wa uzinduziWaziri Mkuu, Mizengo Pinda akimpongeza, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) Nehemia Mchechu muda mfupi baada ya uzinduzi wa ujenzi wa Nyumba za Makazi
No comments:
Post a Comment