Mshindi namba tatu , Waziri Saulum akitumbuiza wakati wa fainali ya Bongo Star Search iliyofanyika katika Ukumbi wa Diamond Jublee
Mshindi namba mbili, Roggers akitumbuiza kwa gitaa lake
Huyu ndiye aliyeibuka mshindi na kufanikiwa kunyakuwa Milioni 40 ni Mr Haji Ramadhani
Mchecu naye alitumbuiza wakati wa fainali hizo
Walioshiriki Bongo Star Search 2011 wakiwa katika picha ya pamoja
Waziri Salum akitumbuiza
Bella kombo aliyeshika namba 4 akitumbuza jukwaani kwa madaha
Mr flaver akiwatumbuiza waliohudhuria katika fainali hizo
Mambo ya mr flaver hayo kila mtu aliamua kuachia kiti na kufanya kweli
Mr Flaver akitumbuiza
Waziri salumu akiwa zawadi yake ya mshindi wa tatu ya Sh Milioni tano
Mshindi akiwa na koba lake lenye milion 40
No comments:
Post a Comment