MDAU POPOTE ULIPO TUMA PICHA NA HABARI KWA E-mail:  antonysiame74@yahoo.com

Wednesday, October 26, 2011

MRADI WA VODACOM MWEI NI MKOMBOZI WA AKINA MAMA TANZANIA

Meneja wa Vodacom Tanzania wa Mradi wa MWEI Mwamvua Mlangwa akiongea na wakinamama
wajasiriamali wadogowadogo wa kijiji cha Kitangari Wilaya ya Newala Mkoani Mtwara,kabla ya kuanza kuwapatia mikopo ya fedha taslimu zinazotolewa na Vodacom Tanzania kupitia mradi wake wa MWEI unaowakopesha wakina mama hapa nchini na kurudisha fedha hizo bila riba.
Wakinamama wajasiriamali wadogowadogo wa kijij cha Kitangari Wilaya ya Newala Mkoani Mtwara,wakimsikiliza Meneja wa Vodacom Tanzania wa Mradi wa MWEI Mwamvua Mlangwa hayupo pichani ,wakati wakisubiri kupatiwa mikopo yao ya fedha taslimu zinazotolewa na Vodacom Tanzania kupitia mradi wake wa MWEI unaowakopesha wakina mama hapa nchini bila riba.

No comments:

Post a Comment