MDAU POPOTE ULIPO TUMA PICHA NA HABARI KWA E-mail:  antonysiame74@yahoo.com

Wednesday, October 12, 2011

Uzinduzi wa Sabuni yenye kinga ya kuangamiza viini vya Safegurd iliyotengenezwa na Kampuni ya Protecter and Gamber




Baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Msingi Mlimani wakiwa katika maandamano kwa ajili ya uzinduzi wa Sabuni mpya yenye kinga ya kuangamiza viini ya Safegurd



 Picha nyingine hizo kundi maarufu la THT likitumbuiza wakati wa hafla hiyo ya uzinduzi uliofanyika katika Viwanja vya Shule ya Msingi Mlimani Dar es Salaam










Picha nyingine hizo ni kundi la wanamziki kutoka nyumba ya vipaji vya mziku THT wakitumbuiza wakati wa hafla ya uzinduzi huo wa sabuni

No comments:

Post a Comment