Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Nehemiah
Mchechu (kushoto) na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC,Lawrence
Mafuru (kulia) wakibadilishana hati za makubaliano kuhusu suala la
mikopo ya nyumba jijini Da es Salaam , Wanaoshuhudia ni Waziri wa
Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Prof. Anna Tibaijuka na
Mwenyekiti wa Bodi ya NHC, Injinia Kesogukewele Msita. |
No comments:
Post a Comment