MDAU POPOTE ULIPO TUMA PICHA NA HABARI KWA E-mail:  antonysiame74@yahoo.com

Thursday, June 28, 2012

Serikali yalaani kitendo cha kupigwa kwa Ulimboka

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda amesema kitendo alichofanyiwa cha kupigwa Mwenyekiti wa Jumuia ya Madakrtari, Stephen Ulimboka Serikali imekilaani sana na akaahidi suala zima la tukio hilo lazima uchunguzi utafanyike ili waliofanya waweze kubainika

Kauli hiyo ilitolewa na Waziri Mkuu Mizengo Pinda wakati wa kipindi cha maswali kwa Waziri Mkuu Bungeni kinachofanyika kila siku ya Alhamisi


No comments:

Post a Comment