Coletta
Ndumbalo akijitolea damu katika zoezi la kuchangia damu
lililoandaliwa na kuhusisha wafanyakazi wa Airtel kuchangia damu kwa
mfuko wa taifa wa kuhifadhi damu ili kuokoa maisha ya wagonjwa
wanaohitaji damu. Zoezi hilo la kuchangia damu lilifanyika jana siku
nzima katika makao makuu ya Airtel Moroco jijini Dar es Salaam
No comments:
Post a Comment