MDAU POPOTE ULIPO TUMA PICHA NA HABARI KWA E-mail:  antonysiame74@yahoo.com

Wednesday, July 4, 2012

Habari za Bungeni Dodoma

Serikali imetowa wito kwa wamiliki wa vyombo vya habari kuajiri wanahabari wenye taaluma
Kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri wa Habari Vijana Utamaduni na Michezo, Amoss Makala wakati akijibu maswali Bungeni katika  wa Kipindi cha maswali na mahjibu, ili wanahabari wafanye kazi kwa weredi unaotakiwa wamiliki hao hawana budi kuajiri waandishi wenye taaruma pamoja na kuwalipa vizuri ili waweze kuepuka na vitendo vya rushwa


No comments:

Post a Comment