MDAU POPOTE ULIPO TUMA PICHA NA HABARI KWA E-mail:  antonysiame74@yahoo.com

Sunday, April 22, 2012

Lowassa achangisha Milioni 10 ujenzi wa Kanisa la EAG Mbeya


 Waziri Mkuu Mstaafu,Mh. Edward Lowassa (kushoto) akiagana na baadhi ya viongozi wa kanisa hilo.Wa pili Kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Mbeya,  Evance Balama.





 Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa (kushoto) akisalimiana na MC Charles Mwakipesile ambaye pia ni mwandishi wa habari gazeti la Majira mkoani Mbeya
 Waziri Mkuu Mstaafu,Mh. Edward Lowassa akiongozana na Askofu Mkuu wa Kanisa la EAGT,Askofu Keneth Kasunga pamoja na waumini wengine wa kanisa hilo wakati wakitoka kwenye viwanja vya Hoteli ya High Class muda mfupi baada ya hafla fupi ya kuchangia ujenzi wa kanisa hilo,lililopo mjini Tunduma wilaya ya Mbozi mkoani Mbeya
Waziri Mkuu Mstaafu,Mh. Edward Lowassa akizungumza na waandishi wa habari mara baada kumalizika kwa tafrija hiyo.




No comments:

Post a Comment