MDAU POPOTE ULIPO TUMA PICHA NA HABARI KWA E-mail:  antonysiame74@yahoo.com

Sunday, April 22, 2012

Uzinduzi wa Wiki ya Elimu Duniani Kitaifa mkoani Dodoma

 Wanafunzi wa Shule ya Awali wakionyesha somo la Sanaa
 maandamano ya wanafunzi wa shule za msingi Dodoma wakiingia katika Uwanja wa Jamhuri wakati wa uzinduzi wa wiki ya Elimu Duniani Kitaifa

 baashi ya wanafunzi wakiwa kwenye maandamano

Wanafunzi wa Shule ya Msingi St John wakiingia kwa Gwaride


Mkuu wa Wilaya ya Bahi, Betty Mkwasa akiwaongoza baadhi ya wanafunzi kucheza kwaito
 Mkuu wa Wilaya ya Bahi, Betty Mkwasa katika akienda sambamba na wanafunzi kucheza kwaito
 Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rehema Nchimbi pamoja na baadhi ya wengine viongozi wa mkoa wakicheza kwaito pamoja na wanafunzi

 wanafunzi wakiwa kwenye jukwa kuu la Uwanja wa Jamhuri Dodoma



Naibu Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (ELIMU), Kassim Majaliwa akipunga mkono kuyapokea maandamano ya wanafunzi wakati wa uzinduzi wa Wiki ya Elimu Duniani Kitaifa uliofanyika mkoani Dodoma katika Uwanja wa Jamhuri jana. Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rehema Nchimbi

No comments:

Post a Comment