MDAU POPOTE ULIPO TUMA PICHA NA HABARI KWA E-mail:  antonysiame74@yahoo.com

Sunday, October 9, 2011

Waziri Mkuu Mizengo Pinda na Maximo Brazil

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Kocha wa zamani wa timu ya Taifa ya Mpira wa Miguu, Marcio  Maximo kwenye Hoteli ya  JW MARRIOTT ya Rio de Janeiro akiwa katika ziara ya kikazi nchini Brazil mwishoni mwa wiki. Katikati ni Mke wa Waziri Mkuu Tunu Pinda. Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

No comments:

Post a Comment