| Mwimbaji Sada Nassor wa Kikundi cha Zanzibar One,akiimba wimbo wa "Nidhibiti" wakati wa sherehe za CCM Zanzibar za kumpongeza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,kwa kutimiza mwaka mmoja tokea kuiongoza Zanzibar, huko katika ukumbi wa Salama Bwawani Mjini Zanzibar. |
No comments:
Post a Comment