MDAU POPOTE ULIPO TUMA PICHA NA HABARI KWA E-mail:  antonysiame74@yahoo.com

Sunday, June 24, 2012

Kampuni ya TBL yaendelea kutatua tatizo la Maji kwa wananchi


Mkuu wa Wilaya ya Geita, Manzie Mangochie,  akisistiza jambo wakati akikagua juzi mradi wa visima vya  maji unaotekelezwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) katika Kijiji cha Mkolani I wilayani Geita, Katikati ni Mhandisi wa Maji wilayani Geita, Enock Kangasa Mradi huo umegharimu milioni 25


Mkurugenzi wa Uhusiano na Sheria wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Steve Kilindo (aliyeweka miwani kifuani) akifurahia jambo wakati  Mkuu wa Wilaya ya Geita , Manzie Mangochie akijaribu moja ya pump ya visima vya maji katika mradi unaojengwa kwa sh. milioni 25 na TBL katika Kijiji cha Mkolani I, Geita, viongozi hao walikwenda kukagua mradi huo juzi.


Mkandarasi wa mradi wa visima vya maji, Enock Kangasa akisukuma pump ya moja ya visima vya maji mbele ya Mkuu wa Wilaya ya Geita Manzie Mangochie  (kushoto), kilichojengwa kwa msaada wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kwa gharama ya sh. milioni 25 katika Kijiji cha Mkolani I, wilayani Geita juzi


RAIS DK.JAKAYA KIKWETE AMPOKEA RAIS WA JAMHURI YA KIARABU YA SAHRAWI

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Kiarabu ya Sahrawi baada ya kumpokea jana jioni katika Uwanja wa Ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam.


No comments:

Post a Comment