Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akisoma Hotuba kuhusu mapitio na mwelekeo wa Kazi za
Serikali na Makadirio na Matumizi ya Fedha ya Ofisi ya Waziri Mkuu na Ofisi ya
Bunge kwa mwaka 2012/13 Bungeni mjini Dodoma
Baadhi ya wabunge wakiwahi kikao cha Bunge
Mbunge wa Lindi Mjini(CUF) Salum Khalfan Barwany, (katikati) akiwa na Mke wa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda Tunu Pinda na Mtoto analelewa na Waziri Mkuu, George Bush nje ya Ukumbi wa Bunge mjini Dodoma
Spika wa Bunge, Anne Makinda ampongeza Naibu Waziri, Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Amos Makalla kwa kujibu maswali Bungeni kwa ufasaha ikiwa ni mara ya kwanza tangu ateuliwe katika wadhifa huo hivi karibuni na Rais Jakaya Kikwete.
Naibu Waziri, Habari, Vijana Utamaduni na Michezo, Amos Makala akipongezwa na Mbunge wa viti maalum Rita Mlaki baada ya kujibu kwa ufasha swali Bungeni aliloulizwa kuhusu wanariadha wanaokwenda kuiwakilisha Tanzania kwenye mashindano ya Michezo ya Olympic
Naibu Waziri, Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Amos Makala akijibu swali Bungeni mjini Dodoma jana
No comments:
Post a Comment