MDAU POPOTE ULIPO TUMA PICHA NA HABARI KWA E-mail:  antonysiame74@yahoo.com

Monday, July 2, 2012

Maonyesho ya Sabasaba

Afisa Mtendaji Mkuu wa Twiga Bancorp Limited, Hussein Mbululo (kulia) akifafanua jambo juu ya Tuzo ya Dhahabu waliyo ipata kutoka Geneva Uswis kwa Ubora wa huduma zao, kwa waandishi wa Habari waliotembelea banda la Benki hiyo katika maonesho ya kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam yanayoendelea katika viwanja vya JK Nyerere maarufu Saba Saba barabara ya Kilwa. Kushoto ni Mkuu wa Uendeshaji wa Twiga Bancorp,Richard Kombole Pamoja na Ofisa Masoko, Adabert  Alchard

No comments:

Post a Comment