MDAU POPOTE ULIPO TUMA PICHA NA HABARI KWA E-mail:  antonysiame74@yahoo.com

Monday, July 2, 2012

Mkutano wa Nane wa Bunge Kikao cha Kumi na nne waendelea Bungeni mjini Dodoma

Waziri wa  Maendeleo, Jinsia na Watoto, Sophia Simba (kushoto), Mbunge wa Viti maalum (CCM), Rita Kabati wakizungumza nje ya ukumbi wa Bunge Dodoma jana. Kulia ni Mchungaji wa kani la Kiijili la Kirutheli Tanzania Dayosisi ya Iringa Usharika wa Kihesa



Mbunge wa Peramio, Jenster Mhagama akifurahia jambo na Mbunge wa Mbeya Mjini (CHADEMA), Joseph Mbilinyi
 Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Angela Kairuki akiwa na Mkurugenzi wa Taasisi ya Kupambana na rushwa nchini, Dk Edward Hosea nje ya Ukumbi wa Bunge mjini Dodoma jana. Kulia ni Mbunge wa Igunga(CCM), Dk. Peter Kamfumu
 Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Utawala Bora, George Mkuchika akisoma hotuba ya Bajeti ya mwa 2012/13 ya Ofisi hiyo Bungeni
 Leo ndivyo Ukumbi wa Bunge ulivyokuwa
 Waziri wa Nchi Ofisi y Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Celina Kombani akijiandaa kusoma hotuba ya Bajeti ya Mwaka 2012/13 Bungeni

Hawa ni baadhi wanafunzi wanaotembelea Bunge ili kujifunza jinsi Bunge linavyoendeshwa ikiwa ni mafunzo ya kimasomo

No comments:

Post a Comment