MDAU POPOTE ULIPO TUMA PICHA NA HABARI KWA E-mail:  antonysiame74@yahoo.com

Friday, June 3, 2011

Mashindano y Riadha Kanda ya Afrika Mashariki (East African Region Athletics Championship) wakati wa ufunguzi


mita 10,000m kuzunguka Uwanja wa Taifa mara 25







pamoja na ulemavu wa mkono aliweza kumaliza mbio za mita 10,000


Michael Joseph (Kulia) na Anold Luning'o (kushoto) wakichuana katika mbio za Mita 10,000 na Michael Joseph aliweza kushionda mbio hizo kwa kutumia muda wa dk 29.34.46


Hiyo ni Longjump


ukimaliza mbio lazima upatiwe msaada wa maana waweza kuanguka


Mwanadada kutoka Uganda akifanya mazoezi kabla ya kuanza kwa mmbio za kupokezana vijiti Relay ya mita 100x4


Wakimbiaji wa Relay wa mita 100x4 kwa upande wa akina dada kutoka nchini Uganda wakipasha misuli


Akina dada kutoka nchinim Kenya wakiwa tayari kwa kutumia mbio za Relay




Hawa wachina wakishudia mbio hizo


Mbio za Mita 10,000





mbio za mita 100x4 kwa upande wa akina dada
































No comments:

Post a Comment