MDAU POPOTE ULIPO TUMA PICHA NA HABARI KWA E-mail:  antonysiame74@yahoo.com

Friday, November 11, 2011

machinga na FFU wapambana na jijini Mbeya


Wamachinga wakiwa tayali kwa ajili ya Kupambana na FFU wakati wa tukio hilo


Wamachinga Mbali mbali wakikimbia katika eneo la tukio wakati wa machafuko hayo yamepamba moto





Watu Mbali Mbali wakiwa wanakimbia ili kujiokoa na Hatari katika eneo hilo picha zote kwa niaba ya Latest news

No comments:

Post a Comment