MDAU POPOTE ULIPO TUMA PICHA NA HABARI KWA E-mail:  antonysiame74@yahoo.com

Thursday, November 10, 2011

SHEHENA YA BANGI MAHAKAMANI

Askari kanzu akifungua moja ya viroba vyenye bangi katika mahakama ya hakimu mkazi mkoa wa morogoro kwa ajili ya vielelezo baada ya jeshi la polisi mkoa huo kukamata bangi hiyo eneo la Mindu ikisafirishwa kwenda jijini Dar es Salaam ambakom kuna soko zuri la biahsra hiyo haramu mkoani hapa.

No comments:

Post a Comment