MDAU POPOTE ULIPO TUMA PICHA NA HABARI KWA E-mail:  antonysiame74@yahoo.com

Sunday, November 6, 2011

SIDI MGUMIA AKIWA IRAN

Mdau Sidi Mgumia akiwa na mshiriki mwenzake wa maonyesho kutoka Romania wakiwa nje ya jengo ambalo ndani yake kunapatikana aina mbalimbali za makapeti ambazo zimetengenezwa kwa umahiri wa hali ya juu, za kipeeke na ni moja ya vivutio vikubwa vya watalii pia ni kati ya utaalam ambao raia wa Iran wanajivunia sana.
Watu hivyo wengi walipenda awasainie vitabu vyao ikiwa ni sehemu ya kumbukumbu alizowaachia wana Iran!!

No comments:

Post a Comment