Wanafunzi wa Kinyelezi wakiimba wakati wa kukabidhiwa vyumbsa viwili vys madarasa
Wanafunzi wa Shule ya msingi Kinyelezi Dar es Salaam wakiimba baada ya kukabidhiwa vyumba viwili vya madarasa na madawati 50 na Kampuni ya Songas
Usafiri wa haraka wa Bongo kwa kutumia Pikipiki maarufu Bodaboda
Waandishi wa habari wapigapicha wakigombea kupiga picha Jerry Muro baada ya Mahakama kuona hana kosa katika kesi iliyokuwa inamkabili
Jerry Muro baada ya kuachiwa katika Mahakama ya Mkazi Kisutu Dar es Salaam jana akiwa na Mkewe
No comments:
Post a Comment