MDAU POPOTE ULIPO TUMA PICHA NA HABARI KWA E-mail:  antonysiame74@yahoo.com

Monday, November 21, 2011

Tamasha

Mbunge wa Mbeya Mjini (CHADEMA),Joseph Mbilinyi akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam kuhusu shoo ijulikanyo Anti Virus wakati Itakayotumbuizwa katika Tamasha litalaofanyika  Nov. 26 na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali pamoja na wananchi,(kushoto) ni Msanii  Fred Malaki (a,k,a- MKOLONI) n a Mwanadada Zainab Lipangile a.k.a  ZAY –B, Katika tamasha hilo Wasanii mbalimbali watatumbuiza.

No comments:

Post a Comment