Mbunge wa Mbeya Mjini (CHADEMA),Joseph Mbilinyi akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam kuhusu shoo ijulikanyo Anti Virus wakati Itakayotumbuizwa katika Tamasha litalaofanyika Nov. 26 na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali pamoja na wananchi,(kushoto) ni Msanii Fred Malaki (a,k,a- MKOLONI) n a Mwanadada Zainab Lipangile a.k.a ZAY –B, Katika tamasha hilo Wasanii mbalimbali watatumbuiza.
No comments:
Post a Comment