MDAU POPOTE ULIPO TUMA PICHA NA HABARI KWA E-mail:  antonysiame74@yahoo.com

Thursday, April 19, 2012

Nderemo nderemo ya Harusi ya Agnes na William

 Bibi harusi Agnes Martin akiwa amebebwa na mmewe Wiliam Anthony, huku wakishuhudiwa na wasimamizi wao katika ufukwe wa bahari ya Hind jijini Dar es Salaam, baada ya kufunga ndoa katika kanisa la Mtakatifu Dominiki Mbezi Beach



Bwana Harusi William na mkewake Agnes wakiwa katika pozi la picha baada ya kufunga ndoa yao katika kanisa la mtakatifu Dominiki lililopo mbezi beach jijini Dar es Salaam,


 Bibi harusi Agnes Martin akiwa katika pozi baada ya kufunga ndoa na William Anthony


 

Bwana Harusi William na mkewake Agnes wakiwa katika picha ya pamoja na ndugu na jamaa baada ya kufunga ndoa katika Kanisa la mtakatifu Dominiki lililopo mbezi beach jijini Dar es Salaam






HATIMAYE SEIF NA HAMAD WAKUTANA



Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Hamadi ambaye pia ni
Katibu Mkuu wa Cuf ,akisalimiana na hasimu wake ambaye ni Mbunge wa jimbo la  Wawi, Hamadi Rashid Mohamed walipokutana Ikulu jijini Dar es Salaam, wakati wa hafla ya kuwaapisha wajumbe wa Kamati ya kuratibu maoni ya Katiba mpya

No comments:

Post a Comment