MDAU POPOTE ULIPO TUMA PICHA NA HABARI KWA E-mail:  antonysiame74@yahoo.com

Friday, April 6, 2012

Shirika la Fast Light Trust latoa zawadi ya Pasaka kwa watoto yatima

 wafanyakazi wa Shirika hilo wakishusha zawadi hizo kwa ajili ya watoto hao
 Baadhi ya wafanyakazi wakiwa na watoto
 Mkurugenzi Mratibu wa Shirika la Fast Light Trust, Bona Felix Mush akizungumza



 wafanyakazi wa Fast Light Trust wakipanda mti kama kumbukumbu



 Mmoja wa wafanyakazi wa Shirika la Fast Light Trust akiwa na baadhi ya watoto wa Kituo cha chakuwama\



JK ATANGAZA MAJINA YA WAJUMBE WA TUME YA KATIBA

 Rais Jakaya Kikwete atangaza majina ya wajumbe wa Tume ya Katiba Ikulu Dar es Salaam mbele ya waandishi ya waandishia wa habari
Rais Jakaya Kikwete akifafanulia jambo waandishi wa habari muda mfupi baada ya kutangaza majina ya wajumbe wa Tume ya Katiba

No comments:

Post a Comment