MDAU POPOTE ULIPO TUMA PICHA NA HABARI KWA E-mail:  antonysiame74@yahoo.com

Wednesday, April 11, 2012

Simba ilivyopokelewa na wapenzi wa timu hiyo kutoka Algeria

 Mashabiki wa Simba wakipuliza Vuvuzela wakati wa mapokezi ya timu hiyo ilipotoka nchini Algeria kucheza mchezo wa Shirikisho dhidi ya Es Setif na kufanikiwa kitoa na kusonga mbele
 Kocha Mkuu Milovan akipungua mkono baada ya kuwasili katika Uwanja wa ndege wa Julius Nyerere Dar es Salaam
 Okwi mfungaji wa bao muhimu lililoivusha Simba akiwa amezongwa na mashabiki wa timu hiyo muda mfupi baada ya katika Uwanja wa Ndege wa Juluis Nyerere Dar es Salaam
 Wachezaji wa timu ya Simba wakiwa ndani ya gari baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere Dar es Salaam,
 Vijana hawa wakiwa wameshindwa kuendesha baiskeli zao mpaka wawaone wachezaji wa Simba




Naibu Waziri wa Ujenzi, Dk Harrison Mwakyembe aanza kuhudhuria vikao vya Bunge


 Naibu Waziri, Dk Harrison Mwakyembe, akijibu maswali Bungeni mjini Dodoma jana yaliyokuwa yameelekezwa Ofisni kwake

No comments:

Post a Comment