Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa, Shamsi Vuai Nahodha akila kiapo mbele ya Rais Jakaya Kikwete
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Hussen Mwinyi akila kiapoWaziri wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe akila kiapo
Waziri wa Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Celina Kombani akila kiapo
Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika Christopher Chiza akila kiapo
Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Khamis Kagasheki akila kiapo
Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe akila kiapo
Waziri wa Habari, Vijana, Utamduni na Michezo, Dk. Fenella Mkangala akila kiapo
Waziri wa Fedha, Dk.William Mgimwa akila kiapo
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Gregory Teu akila kiapo
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Angella Kairuki akila kiapo
Naibu Waziri wa Fedha, Janeth Mbene akila kiapo
Naibu Waziri wa Fedha
Saada Mkuya Salum akila kiapo
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akifurahi jambo na mfanyabiashara maarufu na kada wa CCM, Sabodo wakati Sherehe ya kuwaapisha mawaziri Ikulu Dar es Salaam jana. wengine katika Picha ni Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Sofia Simba aliyesimama na Waziri wa TAMISEMI, Hawa Ghasia
No comments:
Post a Comment