MDAU POPOTE ULIPO TUMA PICHA NA HABARI KWA E-mail:  antonysiame74@yahoo.com

Wednesday, May 23, 2012

Songas yakabidhi Taa za Solar kwa Shule ya Msingi Mabwepande

Mratibu wa Mahusiano ya Jamii wa Kampu ya Songas ya kuzalisha Gesi asilia, Nicosdemus Chipakapaka akizungumza wakati wa kukabidhi Taa za Solar 250 kwa wanafunzi wa Shule ya Msingi Mabwepande walioathirika na Mafuriko

Chipakapaka akionyesha Taa ya Solar ikiwa kwenye Boksi
Wanafunzi wakikabidhiwa Taa hizo za Soalr


Wanafunzi wakielekezwa jinsi ya kutumia hizo taa


No comments:

Post a Comment