MDAU POPOTE ULIPO TUMA PICHA NA HABARI KWA E-mail:  antonysiame74@yahoo.com

Tuesday, June 12, 2012

wabunge waapishwa Bungeni Dodoma

Mbunge wa kuteuliwa ambaye ni Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo akila kiapo ndani ya Ukumbi wa Bunge mjini Dodoma jana
Mbunge wa kuteuliwa ambaye pia ni Naibu Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum akila kiapo ndani ya Ukumbi wa Bunge mjini Dodoma jana

Mbunge wa kuteuliwa James Mbatia (NCCR-Mageuzi) akila kiapo ndani ya Ukumbi wa Bunge mjini Dodoma jana
Mbunge wa kuteuliwa ambaye pia ni Naibu Waziri wa Fedha, Janet Mbene akila kiapo ndani ya Ukumbi wa Bunge mjini Dodoma jana

No comments:

Post a Comment