MDAU POPOTE ULIPO TUMA PICHA NA HABARI KWA E-mail:  antonysiame74@yahoo.com

Monday, September 24, 2012

Mkurugenzi Mkuu wa Maktaba ya Taifa (TLSB) nchini Dkt, Alli Mcharazo (kushoto) akifanya makabidhiano na Mwakilishi wa serikali ya China (kulia)  Ling U  leo jijinii Dar es salaam. ambapo    Serikali ya watu wa China wamekabidhii vitabu hivyo vya kusomea , komputa na mashelfu ya kuwekea vitabu katika maktaba ya  taifa ya vitabu nchini (TLSB) 

No comments:

Post a Comment