Hivi ndivyo eneo la Tazara, makutano ya Barabara ya Mandela na Nyerere litakavyonekana pindi ujenzi utakapokamilika
Waziri
wa Fedha, Dk. William Mgimwa na Balozi wa Japan nchini, Masaki Okada
wakibadilisha mikataba ya miradi mitatu iliyosainiwa jana yenye thamani ya Sh
Bilioni 28 itakayotolewa na nchi hiyo kwa ajili ya ujenzi wa Barabara za juu
eneo la Tazara Dar es Salaam, upanuzi wa Barabara ya Kilwa na fedha kwa ajili
ya uendelezaji wa Kilimo kwanza
Waziri
wa Fedha, Dk. William Mgimwa na Balozi wa Japan nchini, Masaki Okada
wakitiliana saini ya mikataba ya miradi mitatu yenye thamani ya Sh
Bilioni 28 itakayotolewa na nchi hiyo kwa ajili ya ujenzi wa Barabara za juu
eneo la Tazara Dar es Salaam, upanuzi wa Barabara ya Kilwa na fedha kwa ajili
ya uendelezaji wa Kilimo kwanza
No comments:
Post a Comment