MDAU POPOTE ULIPO TUMA PICHA NA HABARI KWA E-mail:  antonysiame74@yahoo.com

Friday, April 26, 2013

SHEREHE ZA MAADHIMISHO YA MIAKA 49 YA MUUNGANO


Luteni Paschatory Mabula, akiongoza kikundi cha kwanza cha gadi ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Kikosi cha Anga   Uwanja wa Uhuru mjini  Dar es Salaam

Rais mstaafu wa Zanzibar, Amani Abeid Karume (kulia) akisalimiana na Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa
 Baadhi ya waalikwa wakiwa katika maadhimisho hayo
 Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Idii (kulia) akisalimiana na Jaji Mkuu wa Zanzibar Othmani Makungu



Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein (kulia), Makamu wa Kwanza wa Rais, Maalim Seif Shalif Hamad wa pili kutoka (kulia), Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Idd na Jaji Mkuu wa Zanzibar, Othmani Ramadhani Makungu wakiwa katika maadhimisho   hayo.

 Msafara wa Rais Jakaya Kikwete akiyekuwa mgeni rasmi katika maadhimisho hayo ukiingia katika Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam
 Kikosi cha Jeshi la Anga kikiwa katika gwaride
 Kikosi cha Jeshi la wanamaji  kikiwa katika gwaride
 Kikosi cha Jeshi la Polisi (FFU)  kikiwa katika gwaride
 Kikosi cha Jeshi la Magereza  kikiwa katika gwaride


 Wakuu wa mikao wenyeviti wa vyama vya siasa wakiwa katika maadhimisho


Viongozi wa kiatifa wakimba wimbo wa Taifa. Kutoka kushoto, Rais mstaafu, Ali Hassani Mwini, Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Idd, mke wa Rais Mama Salma Kikwete, Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein, Rais Jakaya Kikwete, Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Jenerali Davis Mwamunyange, Makamu wa Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilal, Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Seif Sharif Hamad, Rais mstaafu Benjamin Mkapa na  Mama Fatma Karume.


 Baadhi ya mabalozi na wageni wengine wakishuhudia burudani
 Vina wa halaiki wakiwa wametengeneza umbo la uwanja wa michezo

 Ndege za kivita zikipita



vijana wa halaiki wakionyesha sarakasi

No comments:

Post a Comment