MDAU POPOTE ULIPO TUMA PICHA NA HABARI KWA E-mail:  antonysiame74@yahoo.com

Monday, October 13, 2014

KHAMIS MKOTYA AWAHUTUBIA WAHITIMU WA KIDATO CHA NNE

 Mhariri Msanifu wa Gazeti la Mtanzania, Khamis Mkotya, akizunumza na wahitimu wa Kidato cha nne katika  mahafali ya tano ya Shule ya Sekondari ya Salma Kikwete Kijitonyama jijini Dar es Salaam juzi. Kulia ni  Mhariri wa Habari wa Gazeti la Mtanzania, Bakari Kimwanga  na Mwenyekiti wa walimu wa maarifa ya Uislamu Dar es Salaam, Suleiman Gombe



No comments:

Post a Comment