MDAU POPOTE ULIPO TUMA PICHA NA HABARI KWA E-mail:  antonysiame74@yahoo.com

Wednesday, June 24, 2015

NAIBU WAZIRI WA MAWASILIANO, SAYANSI NA TEKNOLOJIA, JANUARY MAKAMBA AKIWA MKOANI BUKOBA KUTAFUTA WADHAMINI



Mbunge wa Bumbuli na naibu waziri wa mawasilano, sayansi na teknolojia, January Makamba Akimjulia hali mtoto akiwa na mamayake walielazwa katika Hospitali ya Mkoa wa Kagera pindi alipotembelea wodi ya watoto wenye matatizo mbalimbali hospitalini hapo.






Mke wa Mbunge wa Bumbuli, Ramona Makamba akiteta jambo na mtoto aliyelazwa katika hospitali ya Mkoa wa Kagera mara walipotembelea hospitali hiyo kuona wagonjwa.







Mbunge wa Bumbuli na naibu waziri wa mawasilano, sayansi na teknolojia, January Makamba akisalimiana nawanachama na wananchi wa Bukoba mjini mara baada ya kuwasili mjini hapo. January Makamba yupo katika ziara nchi nzima katika kusaka wadhamini ndani ya chama watakaomuwezesha kuteuliwa kugombea nafasi ya urais kwa tiketi ya CCM katika uchaguzi mkuu mwezi Oktoba.

No comments:

Post a Comment