MDAU POPOTE ULIPO TUMA PICHA NA HABARI KWA E-mail:  antonysiame74@yahoo.com

Thursday, April 28, 2011

Kibaha Sekondari yatoa mwanafunzi bora kitaifa matokeo ya kidato cha Sita

katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Taifa, Dk. Joyce Ndalichako akitangaza matokeo ya mtihani wa Kidato cha uliofanyika mwezi wa pili mwaka huu. ambapo mwanafunzi kutoka Kibaha Sekondari ameongoza Kitaifa hii ni Shule aliyosoma Rais wetu. Dk Jakaya Kikwete.

No comments:

Post a Comment