Waziri wa Habari Utamaduni na Michezo, Dk Emmanuel Nchimbi wa tatu kutoka (kushoto) akiwa katika Picha ya pamoja baada ya kukabidhi zawadi kwa washindi wa Mbio za kumi za Kilimarathon mkoni. wa Kilimanjaro wa kwanza kulia ni Meneja wa bia ya Kilimanaro, George Kavishe
Mzee wa miaka 67, Joram Zakaria akimaliza mbio za Kilomita 42
Mmoja wa wakimbiaji akiwapewa huduma ya kwanza baada ya kumaliza kukimbia
Walinzi wa Kampuni binfi ya Ulinzi ya KK Security wakionyesja jinsi wanavyotumia Mbwa katika Ulizi
Raia wa kigeni akijimwagia maji wakatia akimbia
wakimbiaji wakichuana
Mmoja wa wakimbiaji akikimbia
wanariadha wakichuana
Baadhi ya wafanyakazi wa Vodacom wakijiandaa na mbio za Kilomita Tano
Mkurugenzi wa Msoko na Uhusiano wa vodacom Tanzania akijiandaa na Mbio za Kilomita Tano
watu wenye ulemavu wakikimbia kwa kutumia Baiskeli kwa kudhaminiwa na Gapco
Mchuano mkali wa wakimbiaji
wakimbiai wakijiandaa kabla ya kukimbia
Herman akiwaonyesha wakimbiaji picha aliyowapiga kabla ya kuanza kukimbia
Rukia Mtingwa wa Vodacom akijiandaa kutimua mbio za Kilomita Tano
Nami nilishiriki mbio za kilomita 0 na kufanikiwa kupata picha za kutosha
No comments:
Post a Comment