Mbunge wa Mbeya Mjini (CHADEMA), Joseph Mbilinyi na Mkurugenzi wa Clouds Media Rugemalila Mutahaba wakipeana mikono, Dar es Salaam jana ikiwa ni ishara ya kupatana na kumaliza tofauti zao zilizotokana na sababu za kimuziki zilizodumu kwa muda wa miaka miwili. Kushoto niWaziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dk. Emmanuel Nchimbi na (kulia) n Mbunge wa Singida Mashariki (CHADEMA) Tundu Lisuwakishuhudia
No comments:
Post a Comment