Kikosi cha wanafunzi wa Mwaka wa pili wa masomo wa Shahada ya kwanza ya Sosholojia ya Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDOM) ambacho Kilipambana na Kikosi Cha Mwaka wa tatu ambao wanasomea Shahada ya kwanza ya Sosholojia ya Chuo Kikuu hicho katika Bonanza lililofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita
Baadhi ya Wachezaji wa Mwaka wa tatu wakiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi wenzao kabla ya mechi kuanza
Kikosi Cha timu ya wanafunzi wa mwaka wa tatu wanaosomea Shahada ya kwanza ya Sosholojia ya Chuo Kikuu Cha Dodoma wakiwa katika Dua kabla ya mechi dhidi ya wanafunzi wa kozi hiyo katika Bonanza lililofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita Chuoni hapo

Katibu wa Itikadi na uenezi wa CCM, Nape (Kushoto) akimnadi mgombe Ubunge jimbo la Arumeru Mashariki, kupitia Chama hicho, Sioi Sumari. Kulia ni Meneja wa Kampeni, Mwigulu Nchemba

Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa akiwa na Mkuu wa Kitengo cha huduma za jamii cha Benki ya NMB Monduli mkoani Arusha

Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa akiwa na Mkuu wa Kitengo cha huduma za jamii cha Benki ya NMB Monduli mkoani Arusha

No comments:
Post a Comment